EXCLUSIVE BEHIND THE SCENE PHOTOS| KAMA HUKUHUDHURIA UANDAZI WA VIDEO MPYA YA MSANII AMOURY HIZI NDIZO PICHA ZA BEHIND THE SCENE...
Weekend iliopita msanii kutoka hapa Kenya anayejulikana kama ARTIST001 ama ukipenda AMOURY BEYBY alikua akiandaa video yake katika uwanja wa STADIUM MOMBASA.
Kitu kimoja kilichowaacha watu midomo wazi ni kwamba msanii huyo aliweza kutumia gari za MOMBASA COUNTY katika video hio kitendo ambacho kila mtu alitoka na swali lake ambapo wangemuuliza msanii AMOURY tuna imani wangepata jibu sahihi.
Hizi ndizo baadhi ya picha tulizozipata...
Comments
Post a Comment