Baada ya msanii TWENTY TWO kukaa katika maeneo ya Pwani yaani Coast chini ya uongozi wa EMMY DEE kwasasa mbawa zake zimefunguka na kuruka hadi maeneo ya NAIROBI ambapo kwasasa msanii huyo amenyakuliwa na uongozi wa JOMINO.
Twenty Two kwasasa yuko chini ya uongozi wa JOMINO ambapo JOMINO ndio iliweza kuta baadhi ya wasanii waitajika kutoka hapa Kenya tukianza na msanii anayejulikana kama D.N.A kabla ya kuchukuliwa na GRANDPA.
Baada ya kusajiliwa na lebo hio ya TWENTY TWO ametoa video ya kwanz akiwa chini ya uongozi huo ambapo video hio imeweza kuketiwa chini na OGOPA VIDEOS cha kushangaza ni kwamba nyimboa liokua ameitengeneza kipindi cha nyuma ivi ndio imeweza kuregelewa kwa beat nyengine ivi mtindo wa KAPUKA.
Hii ndio video mpya MCHUMBA ya TWENTY TWO pata kuitizama kwa kubonyeza hapa chini...
Comments
Post a Comment