HAYA NDIO MANENO YA MOURINHO BAADA YA ZINEDINE ZIDANE KUONYESHA DALILI YA KUMTAKA EDEN HAZARD....soma hapa...
Zinedine Zidane ambae ni kocha wa
Real Madrid Castilla alikua quoted akisema kwamba kuna wachezaji
wengi anawaangalia sana, kama Lionel Messi na Cristiano Ronaldo ambao ni
wachezaji wazuri. Lakini pia anampenda sana Eden Hazars sana, anapenda kila
kitu anachofanya uwanjani”
Baada
ya kusema hayo ikatilia mkazo wa story za Eden Hazard kutaka kuhamia Real
Madrid. Jose Mourinho akiwa kwenye press conference alizungumzia hii ishu.
“Tumetoka
ku-saini mkataba na yeye(Eden Hazard) hadi mwaka 2021. Hatukumuwekea silaha
kichwani ili asaini huo mkataba. Sidhani anahitaji kwenda huko (Real Madrid)”.
Eden
Michael Hazard ana umri wa miaka 24 kabla ya kuwa Chelsea alicheza club ya LIle
akitokea kwenye mechi 147 na kufunga goals 36. Baada ya Chelsea alitokea kwenye
mechi mara 101 na kufunga magori 36.
Real
Madrid Castilla ni timu ya Real Madrid inayoshiriki Division B, Zinedine Zidane
ndie e manager wa timu hii na pia anahusika kwa kiasi kikubwa kwenye timu nzima
ya Real Madrid.
Comments
Post a Comment