Skip to main content

UKISKIA MAPENZI NI UPOFU BASI MAANA YAKE NDIO HII,TAZAMA PICHA ZA WAPENZI HAWA NA UONE MAAJABU YAO....

Kraft anasema ipo siku mapenzi yatakuwa si ya kawaida
Anton Kraft, kutoka Denmark, amepata mpenzi China Bell kutoka Florida

Anton Kraft, kutoka Denmark, amepata mpenzi China Bell kutoka Florida
Akiwa kama mwanaume pekee duniani anayenyanyua vyuma vyenye uzito mara nne ya uzito wa mwili wake, Anton Kraft anaongoza kwa kuwa mtu mwenye nguvu duniani.
Mbilikimo huyo mwenye urefu wa futi 4.4, anaishi Florida, ananyanyua nondo 36.Bell anasema alikunwa na uwezo wa Anton wa kunyanyua vitu vizito

Bell anasema alikunwa na uwezo wa Anton wa kunyanyua vitu vizito
Na ni mtu mwenye malengo na wanawake.Kraft anasema ipo siku mapenzi yatakuwa si ya kawaida
Kraft anasema ipo siku mapenzi yao yatakuwa si ya kawaida Kraft, 52, anatembea na wanawake ambao ni warefu kumzidi. Kwa miezi sita sasa amekuwa na mahusian na China Bell mwenye urefu wa futi 6.3.
Kraft anadi alishawahi kufa mara tano miaka 10 iliyopita

Kraft anadi alishawahi kufa mara tano miaka 10 iliyopita
Bell, 43, ambaye alizaliwa mwanaume na kujibadilisha, anakubali kuwa alikuwa na wasiwasi alipoombwa kwenda kutembea lakini alikunwa na ujuzi wa Anton wa kunyanyua vitu vizito.
Kraft anasema anampenda sana Bell
Kraft anasema anampenda sana Bell
“Nafikiri uwezo wa Anton wa kunyanyua vitu vizito ni wa kuvuatia, kwa sababu anavutia – unaposhikilia taji la uzito wa juu duniani, hiyo ina maana kubwa,” alisema Bell.
Wanasema hawajawahi kujisikia furaha kwenye mapenzi yao kama waliyokuwa nayo sasa

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..