Skip to main content

MWANAMZIKI WAKIKE WAKENYA ANAYEAMINIKA KUWA NA HELA NDEFU ZAIDI AFUMANIWA AKILA BATA NA MASTAR WA NIGERIA "P'SQUARE NCHINI SOUTH AFRICA...



Msanii kutoka hapa nchini Kenya anajulikana kama AKOTHEE wiki jana aliweza kuelekea maeneo ya SOUTH AFRICA kushoot video yake mpya ambapo tuliweza kumuhoji na kutuelezea kuwa video yake hio anakwenda kuifanya na director anayeaminika sana katika maeneo hayo anayejulikana kama GODFATHER.

Nyimbo hio yake aliweza kuiachia hivi karibuni ameweza kuitengeneza katioka studio za KAY-G RECORDS chini ya PRODUZA TOTTI inajulikana kama SHENGERERA (MAMA).

Katika mitandao ya msanii huyo tuliweza kukumbana na picha za bosslady huyo AKOTHEE akiwa anakula bata na wasanii wakubwa kutoka nchioni Nigeria ambapo ni P'square pamoja na Mr.Flava.

Hizi ndizo baadhi ya picha zinazo tembea mitandaoni za mastar hao..





Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO

EXCLUSIVE: DOWNLOAD WIMBO MPYA WA TANZANITE ALIYO MUIMBIA LULU WA BONGO MOVIE

Pata kudownload na kuskiza hapa chini....

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.