Skip to main content

MWANAMZIKI WAKIKE WAKENYA ANAYEAMINIKA KUWA NA HELA NDEFU ZAIDI AFUMANIWA AKILA BATA NA MASTAR WA NIGERIA "P'SQUARE NCHINI SOUTH AFRICA...



Msanii kutoka hapa nchini Kenya anajulikana kama AKOTHEE wiki jana aliweza kuelekea maeneo ya SOUTH AFRICA kushoot video yake mpya ambapo tuliweza kumuhoji na kutuelezea kuwa video yake hio anakwenda kuifanya na director anayeaminika sana katika maeneo hayo anayejulikana kama GODFATHER.

Nyimbo hio yake aliweza kuiachia hivi karibuni ameweza kuitengeneza katioka studio za KAY-G RECORDS chini ya PRODUZA TOTTI inajulikana kama SHENGERERA (MAMA).

Katika mitandao ya msanii huyo tuliweza kukumbana na picha za bosslady huyo AKOTHEE akiwa anakula bata na wasanii wakubwa kutoka nchioni Nigeria ambapo ni P'square pamoja na Mr.Flava.

Hizi ndizo baadhi ya picha zinazo tembea mitandaoni za mastar hao..





Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..