BAADA YA ALLY KIBA SASA NI DULLY SYKES AAMUA KU UNFOLLOW WATU WOTE KATIKA MTANDAO WAKE WA INSTAGRAM...soma hapa kwanini
Baada ya staa wa Bongo Ally Kiba kuamua ku-unfollow watu wote katika mtandao wake wa INSTAGRAM sasa ni zamu ya PRINCE DULLY SYKES.
Msanii huyu wakitambo Dully Sykes mapema hii leo alichukua uamuzi waku unfollow kila mtu katika ukurasa wake wa INSTAGRAM na wala hakubakisha hata manager wake wala mtu yeyote wa karibu naye...
Hii ndio screenshot tuliyoweza kuipata hii leo baada ya kuwa unfollow watu wote..
Msanii huyu wakitambo Dully Sykes mapema hii leo alichukua uamuzi waku unfollow kila mtu katika ukurasa wake wa INSTAGRAM na wala hakubakisha hata manager wake wala mtu yeyote wa karibu naye...
Hii ndio screenshot tuliyoweza kuipata hii leo baada ya kuwa unfollow watu wote..
Comments
Post a Comment