Hii ni baada ya kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina WANGU nyimbo inayoendelea kufanya vizuri katika vituo vyote hapa nchini ambapo video yake imeweza kutoka wiki mbili zilizopita akiwa ameweza kuifanya video hio na director kutoka hapa nchini kwa jina la SYNC ameweza kutengeza video kama vile ya OMMY DIMPOZ na mrembo AVRIL na pia siku kadhaa ameweza pia kuketia kazi inayojulikana kama NINAWEZA.
Baada ya Totti kuachia video yake hio ya WANGU tuliweza kuona video hio ya sekunde kumi na tano katika ukurasa wa Instagram unaofahamika kwa jina DIAMONDPLATNUMZDAILY unaosifika kwa kutoa taarifa za staa wa bongo DIAMOND PLATNUMZ, chakushangza video hio iliweza kukaa hapa kwa masaa mawili na ikatolewa swala ambalo limetela shida katika vituo vya radio kwamba msanii huyu kutoka hapa nchini Kenya kuwa amekua tishio la staa huyo DIAMOND PLATNUMZ anayetamba kwa ngoma inayojulikana kwa jina NANA kwasasa.
Pata kuitzama video hio ya WANGU hapa chini..
Comments
Post a Comment