KAA LA MOTO ACHUKUA JUKUMU LA KUIJIBU BARUA ILIOANDIKWA NA SUDI AKIWA NA JAGUAR|TIZAMA KIPANDE HICHO CHA VIDEO HAPA..
Katika pitepite zetu katika mitandao leo tumekumbana na kipande hiki cha video katika Youtube.
Msanii wa Hip Hop kutoka hapa Kenya ameamua kuijibu nyimbo iliokua inamuelekea rais wa Kenya Bwana Uhuru Kenya.
Katika kipande hicho cha video msanii huyo ameweza ku-freestyle akijibu BARUA hio ambapo ni wimbo ulioimbwa na wasanii wawili kutoka Kenya ambae ni SUDI akiwa na JAGUAR hit maker wa HUU MWAKA.
Tizama video hio ya Kaa La Moto akijibu barua hio hapa chini.
Msanii wa Hip Hop kutoka hapa Kenya ameamua kuijibu nyimbo iliokua inamuelekea rais wa Kenya Bwana Uhuru Kenya.
Katika kipande hicho cha video msanii huyo ameweza ku-freestyle akijibu BARUA hio ambapo ni wimbo ulioimbwa na wasanii wawili kutoka Kenya ambae ni SUDI akiwa na JAGUAR hit maker wa HUU MWAKA.
Tizama video hio ya Kaa La Moto akijibu barua hio hapa chini.
Comments
Post a Comment