Skip to main content

EXCLUSIVE BEHIND THE SCENE| HIZI NI PICHA ZA NYUMA YA PAZIA ZA UANDAAJI WA VIDEO YA 'DANCE NA SHIRO" YA MSANII BENSO...|TIZAMA PICHA ZA TUKIO ZIMA HAPA.


Msanii BENSO ni mmoja wa wasanii wanaojituma zaidi kimziki ilkuahakikisha hadhi yao kisanii iko juu na inakubadilika,BENSO alikuleteangoma yke iliokua inajulikana kama IMEREMENDE iliofanya vizuri katika soko la humu nchini.


Amerudi tena na majembe mapya kabisa ambapo ivi karibuni utakua unatizama video yake inayojulikana kama NATAKA KUDANCE NA SHIRO,katika pitepite zetu katika mitandao tuliweza kunasa baadhi ya picha za nyuma ya pazia za video hio ambayo bado iko chini ya ukarabati.
Katika vido hio tumeweza kushuhudia sura zilizojaa mafuta yaani zinazometameta na kung'a za warembo ambao kwa mara ya kwanza ndio utawaona katika kioo chako

Hizi ndizo baadhi ya picha utakazo kumbana nazo katika video ya DANCE NA SHIRO 


Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..