EXCLUSIVE BEHIND THE SCENE PHOTOS| HIZI NI PICHA ZA UANDAAJI WA VIDEO MPYA YA BWENYEWE AKIWA AMESHIRIKISHA SUSUMILA "HINDE" PATA KUZITIAZMA HAPA
Kwa muda mrefu msanii aliyekuwa akijulikana kama DOUBLE S alikua yuko kimya chini ya maji hadi akarudi kwenyewe kinyag'anyiro cha mziki hivi majuzi na kujipa jina jipya linalojulkana kama BWENYEWE MFALME.
Hapo jana katika pite zetu tuliingia katika location ambapo ilikua ni BWENYEWE na SUSUMILA wanaanda video yao inayojulikana kama HINDE.
Tuliweza kuwauliza mawili mattau na tukachukua picha ambazo ni za tukio zima la kuandaa video hio.
Muandaaji wa video hio ni director RICKY BECKKO ambaye amefanya video kama NGOMA ITAMBAE,HIDAYA pamoja na IHALE na audio hio imeweza kutengezwa katika studio za SQ-RECORDS na produza AMZ WA LEO.
Hizi ndizo picha za video hio..
Comments
Post a Comment