Skip to main content

EXCLUSIVE VIDEO: WASOJALI BAND-SINA BAHATI_OFFICIAL VIDEO...|Watch it here

 
Vijana walio jawa na talanta kutoka nchin Kenya wanaojulikana kama WASOJALI BAND waachia video yao mpya inayojulikana kama SINA BAHATI.
 Video hio imeketiwa chini na mkali wa video kutoka humu nchini anayejulikana kama RICKY BECKO na Audio yenye imetengenezwa katika studio za GREEN HOUSE mkono ni wa NOZER.

Kumbuka vijana hawa wakiwa chini ya uongozi wa meneja wao ATHMAN BABAZ ni vijana wanao kuja kwa kasi zaidi na wanao tishia katika sauti zao za kuvutia pamoja na bidii na juudi zao.

hizi ni baadhi ya picha wakiiizindua rasmi video hio yao jijini Nairobi ndani ya WAKILISHA EAST AFRICA ndani ya mkahawa wa TRIBEKA.




https://scontent-fra3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11060907_933302246727616_7583951177879425822_n.jpg?oh=02888d0d51c1cf889c605b7631f109f2&oe=5648129F




 Pata kuitizama video hio hapa..

WASOJALI BAND-SINA BAHATI

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO

EXCLUSIVE: DOWNLOAD WIMBO MPYA WA TANZANITE ALIYO MUIMBIA LULU WA BONGO MOVIE

Pata kudownload na kuskiza hapa chini....

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.