Skip to main content

KAA LA MOTO KUACHIA KICHUPA KIPYA KINACHOKWENDA KWA JINA LA "MY VOICE MY CHOICE" PATA TAARIFA NZIMA HAPA..


Ebwana ndio Ya leo Kali tunamjua kama KAA LA MOTO KIUMBE baada ya kimya chake cha K.LM IS DEAD aliomshirikisha JOHNY SKANY sasa anakuja na chombo chengine kinachojulikana kama MY VOICE MY CHOICE.

MY VOICE MY CHOICE ni wimbo uliotawala mitandao ya kijamii takriban kwa wikitatu hivi mfululizo na huenda ukaachiwa wikiijayo Jumatatu ambao kila mahali utakua wimbo huo unaiskia.

Wimbo huo umeweza kutengezwa katika studio za SQ-RECORDS chini ya uongozi wa Prodza AMZ WA LEO.

Hizi ni baadhi ya Post zilizo TREND katika mitandao wiki hii.
A photo posted by Zaiid (@zaiidyao) on
A photo posted by NASEMA 'NACHOJUA (@stereotanzania) on
A photo posted by NASEMA 'NACHOJUA (@stereotanzania) on

Kaa mkao wa Kula utakua unaupata ujio huo kupitia THE GREAT MULLEY.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..