MWIGIZAJI M.J KUTOKA KENYA KUFUNGA SAFARI HADI TANZANIA ILI KUZURU KABURI LA MAREHEMU STEVEN KANUMBA...Soma hapa zaidi..
M.J ni mwigizaji maharufu kutoka hapa anafaamika sana katika vipindi alivyoigiza kama SUMU ambacho ni kipindi kilicho hwani kwa sasa ndani ya K24,ALMASI ambacho kinaoneshwa katika televisheni ya MAISHA MAGIC EAST pamoja na MASAIBU kilicho katika runinga ya KBC.
Mapema hii leo msanii huyo katika mahojiano na GATES MGENGE ndani kipindi cha MASHAV MASHAV aliweza kusikika akisema kwamba baada ya kura nchini Tanzania atakua anazuri nchini hio na lengo lake kubwa nikujiuza kisanii na pamoja na kutembea leo media za nchini hio.
Juma Shibe ama M.J pia aliweza kusema kwamba tangu marehemu STEVEN KANUMBA kuaga dunia mwaka wa 2012 ambapo ni miaka miwili kwasa alisema kwa hajaweza kutembelea kaburi la marehemu ambapo marehemu alikua ndio anayemuangalia sana katika maigizo yake "TANGU KANUMBA KAUGA DUNIA SIJAWAHI KUTEMBELEA KABURI LAKE SASA NANGOJEA KURA ZIISHE NDIPO NIINGIE NCHINI TANZANIA ILI KUZURU KABURI LA MAREHEMU PAMOJA PIA NIFAYE VITU VYANGU" Alisikika akiongea hayo.
Mapema hii leo msanii huyo katika mahojiano na GATES MGENGE ndani kipindi cha MASHAV MASHAV aliweza kusikika akisema kwamba baada ya kura nchini Tanzania atakua anazuri nchini hio na lengo lake kubwa nikujiuza kisanii na pamoja na kutembea leo media za nchini hio.
Juma Shibe ama M.J pia aliweza kusema kwamba tangu marehemu STEVEN KANUMBA kuaga dunia mwaka wa 2012 ambapo ni miaka miwili kwasa alisema kwa hajaweza kutembelea kaburi la marehemu ambapo marehemu alikua ndio anayemuangalia sana katika maigizo yake "TANGU KANUMBA KAUGA DUNIA SIJAWAHI KUTEMBELEA KABURI LAKE SASA NANGOJEA KURA ZIISHE NDIPO NIINGIE NCHINI TANZANIA ILI KUZURU KABURI LA MAREHEMU PAMOJA PIA NIFAYE VITU VYANGU" Alisikika akiongea hayo.
Comments
Post a Comment