Skip to main content

NEW VIDEO ALERT| BWENYENYE FEAT SUSUMILA-HINDE|WATCH IT HERE AND READ MORE ABOUT BWENYENYE..


BWENYENYE ndiye msanii ambae wakati wa nyuma tulimjua kama DOUBLE S akaja akapotea nakurudi tena akiwa chini ya mikono ya KAKA SUNGURA "KING KAKA" na kutoa nyimbo kadhaa akiwa naye na ghafla akapotea tena katika mziki hayo yote tutakuwa tunakujuza ndani ya story inayokuja ambapo tutakuwa tutakuwa tunapiga naye stori ndani ya #TGM_EXCLUSIVE.

Hii hapa ni video yake mpya ambayo amemshirikisha msanii ambaye anajituma zaidi katika mziki wake tunamjua kama SUSUMILA ambaye pia yeye alianzisha EMPIRE yake inayojulikana kama MISHE MISHE MUSIC EMPIRE,video yenyewe inakwenda kwa jina HINDE ambayo iliweza kuachiliwa hapo jana,imeketiwa kitako na director RICKY BEKKO chini ya BIG DREAMS na audio imetokeakatika studio za SQ chini ya produza AMZ WA LEO.

Pata kuitizama video hio hapa...




Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..