Skip to main content

NEW VIDEO ALERT| BWENYENYE FEAT SUSUMILA-HINDE|WATCH IT HERE AND READ MORE ABOUT BWENYENYE..


BWENYENYE ndiye msanii ambae wakati wa nyuma tulimjua kama DOUBLE S akaja akapotea nakurudi tena akiwa chini ya mikono ya KAKA SUNGURA "KING KAKA" na kutoa nyimbo kadhaa akiwa naye na ghafla akapotea tena katika mziki hayo yote tutakuwa tunakujuza ndani ya story inayokuja ambapo tutakuwa tutakuwa tunapiga naye stori ndani ya #TGM_EXCLUSIVE.

Hii hapa ni video yake mpya ambayo amemshirikisha msanii ambaye anajituma zaidi katika mziki wake tunamjua kama SUSUMILA ambaye pia yeye alianzisha EMPIRE yake inayojulikana kama MISHE MISHE MUSIC EMPIRE,video yenyewe inakwenda kwa jina HINDE ambayo iliweza kuachiliwa hapo jana,imeketiwa kitako na director RICKY BEKKO chini ya BIG DREAMS na audio imetokeakatika studio za SQ chini ya produza AMZ WA LEO.

Pata kuitizama video hio hapa...




Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO

EXCLUSIVE: DOWNLOAD WIMBO MPYA WA TANZANITE ALIYO MUIMBIA LULU WA BONGO MOVIE

Pata kudownload na kuskiza hapa chini....

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.