Skip to main content

DIAMOND NA MAFIKIZOLO KWENYE HEADLINES TENA NA MARA HII NI NOMA ZAIDI SOMA HAPA UJUE WANACHOKIFANYA DIAMOND PLATNUMZ AKIWA NA KUNDI LA MAFIKIZOLO...Soma hapa zaidi

Mwaka jana star kutoka hapa Africa aliyechukua tuzo la Best World Wide Act hivi majuzi alikuwa kwenye vichwa vya habari pamoja na kundi kutoka nchini Afrika Kusini linalo tambulika kama MAFIKIZOLO.

Waliweza kutupia picha kadhaa wakiwa studio wanafanya kazi na hizo picha zilibaki kuwa gumzo na ghafla kunyamaza,mashabiki wa wakali hao hawakujua kilicho kua kinaendelea lakini mapema leo hii DIAMOND PLATNUMZ aliweza kutweet kilichokua kinaendelea
Diamond alikuwa anamjibu shabiki mmoja kupitia mtandao huo wakijamii na kuweka wazi kwamba kazi yake na kikundi cha MAFIKIZOLO iko njiani na video watakua wanaiandaa mwezi ujao.

Kama wewe ni shabiki wa DIAMOND PLATNUMZ pamoja na MAFIKIZOLO vuta kita kaa mkao wakula mzigo utakua unaachiwa hivi karibuni..

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..