DIAMOND NA MAFIKIZOLO KWENYE HEADLINES TENA NA MARA HII NI NOMA ZAIDI SOMA HAPA UJUE WANACHOKIFANYA DIAMOND PLATNUMZ AKIWA NA KUNDI LA MAFIKIZOLO...Soma hapa zaidi
Mwaka jana star kutoka hapa Africa aliyechukua tuzo la Best World Wide Act hivi majuzi alikuwa kwenye vichwa vya habari pamoja na kundi kutoka nchini Afrika Kusini linalo tambulika kama MAFIKIZOLO.
Waliweza kutupia picha kadhaa wakiwa studio wanafanya kazi na hizo picha zilibaki kuwa gumzo na ghafla kunyamaza,mashabiki wa wakali hao hawakujua kilicho kua kinaendelea lakini mapema leo hii DIAMOND PLATNUMZ aliweza kutweet kilichokua kinaendelea
Waliweza kutupia picha kadhaa wakiwa studio wanafanya kazi na hizo picha zilibaki kuwa gumzo na ghafla kunyamaza,mashabiki wa wakali hao hawakujua kilicho kua kinaendelea lakini mapema leo hii DIAMOND PLATNUMZ aliweza kutweet kilichokua kinaendelea
Diamond alikuwa anamjibu shabiki mmoja kupitia mtandao huo wakijamii na kuweka wazi kwamba kazi yake na kikundi cha MAFIKIZOLO iko njiani na video watakua wanaiandaa mwezi ujao.
Kama wewe ni shabiki wa DIAMOND PLATNUMZ pamoja na MAFIKIZOLO vuta kita kaa mkao wakula mzigo utakua unaachiwa hivi karibuni..
Comments
Post a Comment