Skip to main content

#TGM_EXCLUSIVE_STORY: WYNAS: "NAWEZA FANYA KAZI NA PRODUZA YOYOTE MBALI NA TEEE", WYNAS AFUNGUKA KUHUSIANA NA YEYE KUWA CHINI YA TEE HITS

WYNAS ni moja ya wasanii wenye sauti yenye mvuto ambaye yuko chini ya studio za TEE HITS.

Wynas aliweza kufunguka mapema hii leo kupitia TSA254 inayoendeshwa na MAFIMBO MFALME ndani ya PWANIFM.

Msanii huyu ambaye yuko chini ya produza TEE TONY aliweza kusema kwamba mbali na kuwa yuko Tee yeye ana uhuru wakufanya kazi katika studio yoyote hapa Kenya mbali na TEE "Ata kama niko chini ya studio za TEE HITS nina uhuru na haki yakuifanya kazi yangu katika studio zozote hapa nchini maana sijasaini mkataba na studio hizo lakini TEE HITS ni kama nyumbani kwangu sina mawazo ya kuitoka" Alisema Wynas

Wynas aliweza kusema pia kwa sasa yuko na collabo na msanii mkubwa kutoka Mombasa na ni katika studio ambayo inatambulika ambayo aliyoweza kuweka studio hio na msanii katika mabano ambazo aliweza kusema muda mwafaka ukifika atwaweza kueka wazi.

Kando na hayo Wynas aliweza kuachia Track yake mpya ambayo inafahamika kama KIDOGO TU.

Pata kuidownload na kuiskiza hapa nyimbo hio mpya...

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..