Hiki ni kitengo cha kuwa THEGREATMULLEY itakuwa inakupatia mistari ya kila ngoma kutoka kwa msanii wako unae mpenda kutoka Afrika Mashariki.
Leo tumeanza na ngoma inayozidi kutamba ndani ya anga za Afrika Mashariki amabayo inajulikana kama MIGOGORO kutoka kwa TOTTI MUSIC akiwa amempa shavu CHIKUZEE.
Leo tumeanza na ngoma inayozidi kutamba ndani ya anga za Afrika Mashariki amabayo inajulikana kama MIGOGORO kutoka kwa TOTTI MUSIC akiwa amempa shavu CHIKUZEE.
Chorus
Kila siku migogoro, migogoro, migogoro nawe
Kila kitu migogoro, migogoro, migogoro nawe
Mi staki migogoro, kila siku migogoro nawe
Mi Staki migogoro, kila kitu migogoro nawe
Kila siku migogoro, migogoro, migogoro nawe
Kila kitu migogoro, migogoro, migogoro nawe
Mi staki migogoro, kila siku migogoro nawe
Mi Staki migogoro, kila kitu migogoro nawe
Verse 1
Wachonganishi hao, mpenzi wangu wee
Hawalali kukesha kusema unafiki hao, baby wangu wee
Usiskize maneno yao yana sumu hayo
Hawataki tupendane, wanataka tugombane
Hawataki niwe nawe, wanataka tuachane
Mara tumekosana nyumbani mara hatuongeleshani
Umenuna huongei, inaniuma sana
Umenuna huongei, inaniuma sanaaaaa
Wachonganishi hao, mpenzi wangu wee
Hawalali kukesha kusema unafiki hao, baby wangu wee
Usiskize maneno yao yana sumu hayo
Hawataki tupendane, wanataka tugombane
Hawataki niwe nawe, wanataka tuachane
Mara tumekosana nyumbani mara hatuongeleshani
Umenuna huongei, inaniuma sana
Umenuna huongei, inaniuma sanaaaaa
Chorus
Kila siku migogoro, migogoro, migogoro nawe
Kila kitu migogoro, migogoro, migogoro nawe
Mi staki migogoro, kila siku migogoro nawe
Mi Staki migogoro, kila kitu migogoro nawe
Kila siku migogoro, migogoro, migogoro nawe
Kila kitu migogoro, migogoro, migogoro nawe
Mi staki migogoro, kila siku migogoro nawe
Mi Staki migogoro, kila kitu migogoro nawe
Verse 2
Visimu simu kila mara vyatugonganisha
Wanafiki hawachoki kutugombanisha
Kila siku ni unoko haya mambo gani
Hata tukifanya ya ndani mtachoka semeni
Wee ndio wangu unatambua
kila kukicha wanipa burudani
Wala Mimi siezi jua, kina fulani wanagere la nini
Mara nimechelewa nyumbani,mara eti niko na fulani
Umenuna huongei, inaniuma sana
Umenuna huongei, inaniuma sanaaa
Visimu simu kila mara vyatugonganisha
Wanafiki hawachoki kutugombanisha
Kila siku ni unoko haya mambo gani
Hata tukifanya ya ndani mtachoka semeni
Wee ndio wangu unatambua
kila kukicha wanipa burudani
Wala Mimi siezi jua, kina fulani wanagere la nini
Mara nimechelewa nyumbani,mara eti niko na fulani
Umenuna huongei, inaniuma sana
Umenuna huongei, inaniuma sanaaa
Chorus
Kila siku migogoro, migogoro, migogoro nawe
Kila kitu migogoro, migogoro, migogoro nawe
Mi staki migogoro, kila siku migogoro nawe
Mi Staki migogoro, kila kitu migogoro nawe
Kila siku migogoro, migogoro, migogoro nawe
Kila kitu migogoro, migogoro, migogoro nawe
Mi staki migogoro, kila siku migogoro nawe
Mi Staki migogoro, kila kitu migogoro nawe
Verse 3 (CHIKUZEE)
Nalipenda penzi lenu nikiwaona pamoja
Si kila siku vijimambo wengine vioja
Wanataka leta vijimambo kwenu nyie hamuelewi
Wanataka leta vijikesi kwenu nyie hamtambui
Oh wanoko hao, wanoko hao, wanoko hao wazome x2
Wazome wazome wazome wazome x2
Nalipenda penzi lenu nikiwaona pamoja
Si kila siku vijimambo wengine vioja
Wanataka leta vijimambo kwenu nyie hamuelewi
Wanataka leta vijikesi kwenu nyie hamtambui
Oh wanoko hao, wanoko hao, wanoko hao wazome x2
Wazome wazome wazome wazome x2
Kama bado hujaweza kuupata wimbo huo upate hapa kwa ku download..
Comments
Post a Comment