Skip to main content

TOTTI AAMUA KUMUEKA WAZI BEAUTIFUL ONYINYE WAKE KATIKA MITANDAO...TIZAMA PICHA ZAKE HAPA WAKIPEANA MATE MAZITO..

Totti amekomesha ubishi mapema leo hii kupitia mtandao wake wa INSTAGRAM kwa kutupia picha tamu tamu za kipusa wake...

Search Results


Mapema hii leo produza msanii huyo aliweza kuambatanisha picha zake akiwa na mama watoto wake wakiwa wametoka shopping na kunukuu maneno haya "HAPPY ANNIVERSARY MY LOVE" Hii ina maana kuwa Totti hajaanza nae leo wala jana amekua akieka uhusiano wake chini ya maji huku hakuna mtu ajua kinachoendelea katika kuta nne za Totti bali ni yeye na Mungu wake lakini leo ameamua kuyaweka hadharani mahusiano yao.


Hizi ndizo baadhi ya picha alizozitupia

A photo posted by Totti Music® (@tottimusic) on

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..