Skip to main content

EXCLUSIVE STORY: PRODUZA TOTTI AINYAKUA NYIMBO "KASAGA" YA BROWN N MAUZO NA KUIFANYA YAKE...Soma hapa zaidi

Ni siku kadhaa tangu produza msanii TOTTI kuachia ngoma yake inayojulikana kama KASAGA na kupokelewa vizuri na mashabiki.

Madai yameibuka ghafla kwamba nyimbo hio ilikua ni ya mmoja ya msanii wa Totti ambaye ni BROWN MAUZO CLASSIC.


Madai hayo yaliibuka pale ambapo ile nyimbo iliposikika kwamba ndai yake kuna sauti ya Brown na shabiki mmoja aliweza kupiga simu nakuuliza kama hio nyimbo ni ya Totti ama ni ya Brown ikiwa inaachiliwa rasmi na presenter huyo hakuwa na jibu la kumpa shabiki huyo.

Lakini cha kushangaza ni kwamba msanii mwenyewe BROWN MAUZO hajaongelea swala hilo la nyimbo yake kuibiwa,tumeweza kumtafuta Totti pamoja na Brown Mauzo lakini juhudi zetu zimegonga mwamba lakini pindi tutakapowasiliana nao utaweza kuwa wakwanza kupata taarifa izo.

Nyimbo yenyewe ndio hii hapa kwa jina KASAGA...

Ama bonyeza link hii...

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..