Skip to main content

PROMOTA SAIDI GANGWE AFUNGUKA KUHUSIANA NA AZMA YAKE YA KUGOMBEA UDIWANI...Soma zaidi hapa

Saidi Gangwe ni mmoja ya ma promota wakongwe kutoka Pwani ya Mombasa ambapo hivi majuzi aliweza kutangaza rasmi kwamba mwaka ujao 2017 atakua anagombea kiti cha Udiwani katika maeneo yake anayoishi Timbwani wodi/Likoni.
Gangwe amewahi ku-promote wasanii kutoka hapa Mombasa Kama Rudeboys,C-New,Fat-S na wengi kutoka hapa Mombasa na pia amewahi kuleta wasanii kutoka Tanzania kama vile Mr.Blue Juma Nature,Tmk hapa namzungumia (Temba,Chege pamoja na marehemu Yp).

Gangwe aliweza kuiambia ThegreatMulley kwamba aliweza kutangaza azma yake ya kuwania kiti hicho cha udiwani aliweza kumuoana Saidi Fellla ameketia kiti kama hicho "Kiukweli mimi tangu kitambo nilitamani sana kuwa kiongozi kwasababu sipendi kuona wananchi wenzangu wakihaingaika na mimi Mungui akinijalia nikipata kiti hicho nitaweza kuhudumia wasanii na kuangalia vipaji sana maana hio ni moja ya sekta ambayo imeachwa nyuma sana hapa mkoani kwetu" tulimnukuu akiyasema hayokatika mkahawa mmoja hapa Mombasa.

Vile vile muheshimiwa huyo mtarajiwa aliweza kuficha chama atakachokuwa anagombea nacho na kusema kwamba wakatika wa kutangaza chama bado haujafika.



Endelea kuzisoma taarifa za THEGREATMULLEY na utaweza kujua kila kitu kumuhusu Muhsehimiwa Saidi Gangwe.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..