Mwanamuzikim mkongwe kutoka jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo afariki dunia mapema leo hii.
Kifo chake kimempata akiwa jukwaani hii ni baada ya kuugua ugonjwa wa moyo na kuweza kuanguka juu ya jukwaani Abidjan/Ivory Coast wakati akitumbwiza tamasha la muziki la Anoumabo (FEMUA)
Muimbaji huyo amefariki akiwa na umri wa miaka 66.
Redio ya Kongo, Radio Okapi imetangaza taarifa za kifo chake.
Hizi ndio baadhi ya picha zake akiwa jukwaani.
Muimbaji huyo amefariki akiwa na umri wa miaka 66.
Redio ya Kongo, Radio Okapi imetangaza taarifa za kifo chake.
Hizi ndio baadhi ya picha zake akiwa jukwaani.
Comments
Post a Comment