EXCLUSIVE STORY/MR.EXCLUSIVE|JE WAJUA WASOJALIBAND WALIKUA WAKITUMIA MIHADARATI? SKIZA HAPA LIVE MENEJA WAO ATHMAN BABA AKIFUNGUKA.
Ni kikundi cha wasanii wanne ambao wameweza kushika tasnia ya mziki kwa haraka sana kupitia ukakamavu wao pamoja na management yao.
Kwa kuwatizama utasema kwamba ni vijana ambao wamelelewa katika mahandhari mazuri na yakufana lakini usilolijua ni kiza tena cha usiku wa manene,THE GREAT MULLEY MEDIA iliweza kumtafuta meneja wao anayejulikana kama ATHMAN BABAZ na kufunguka mengi kuhusu vijana hao wa WASOJALI BAND.
WASOJALIBAND ni vijana waliokuwa wanarandaranda mitaa ya Kisauni/Mwandoni katika jiji la Mombasa ambao walikua kama chokora na walipatana na kama wanavyosema wakale kwamba usikate tamaa kwasababu hjui kesho yako,vijana hawa waliweza kukutana na jamaa mkarimu na mwenyewe moyo wa nyama na kuwasaidia na kuwalisha kama vile anawatambua.
Pata kuiskiza Interview nzima hapa ATHMAN BABAZ akifunguka
Kwa kuwatizama utasema kwamba ni vijana ambao wamelelewa katika mahandhari mazuri na yakufana lakini usilolijua ni kiza tena cha usiku wa manene,THE GREAT MULLEY MEDIA iliweza kumtafuta meneja wao anayejulikana kama ATHMAN BABAZ na kufunguka mengi kuhusu vijana hao wa WASOJALI BAND.
WASOJALIBAND ni vijana waliokuwa wanarandaranda mitaa ya Kisauni/Mwandoni katika jiji la Mombasa ambao walikua kama chokora na walipatana na kama wanavyosema wakale kwamba usikate tamaa kwasababu hjui kesho yako,vijana hawa waliweza kukutana na jamaa mkarimu na mwenyewe moyo wa nyama na kuwasaidia na kuwalisha kama vile anawatambua.
Pata kuiskiza Interview nzima hapa ATHMAN BABAZ akifunguka
Comments
Post a Comment