Skip to main content

KAMA ULIKOSA HAPO JANA NDANI BOXING LOUNGE PICHA NDIO HIZI HAPA NA VIDEO YA LE"GENERAL DEFAO AKIONGELEA KIFO CHA PAPA WEMBA..

Hapo jana ndani ya ukumbi wa BOXING LOUNGE mashabiki waliweza kuchezeshwa rumba na mumbaji mkongwe kuto Jamhuri ya Kongo LE'GENERAL DEFAO.

Mziki huu wa wakubwa uliweza kuongozwa na RICKY MULOLO mwenyewe hit maker wa MZIZI pamoja na band yake nzima ,mbali na kusherekea huko na kucheza bila jasho LE'GENERAL DEFAO aliweza kuongelea swala zima la marehemu PAPA WEMBA "Kiukweli kama kuna muimbaji niliyekuwa na muheshimu kuliko wote ni marehemu PAPA WEMBA na yeye ndiye aliyenifanya hadi niingilie mziki maana nyimbo zake nilikua nazipenda sana na alikua akinipa moyo sana niliposikia kifo chake kiukweli niliumia sana na sikuamini hadi sasa naona ni kama vile bado niko ndotoni" Alisema Le'General.


Pata kuzitazama picha na video hio isiozidi dakika mbili ya Defao akiongelea swala zima la yeye na marehemu.









Hii hapa video pata kuitazama hapa

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO

EXCLUSIVE: DOWNLOAD WIMBO MPYA WA TANZANITE ALIYO MUIMBIA LULU WA BONGO MOVIE

Pata kudownload na kuskiza hapa chini....

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.