KAMA ULIKOSA HAPO JANA NDANI BOXING LOUNGE PICHA NDIO HIZI HAPA NA VIDEO YA LE"GENERAL DEFAO AKIONGELEA KIFO CHA PAPA WEMBA..
Hapo jana ndani ya ukumbi wa BOXING LOUNGE mashabiki waliweza kuchezeshwa rumba na mumbaji mkongwe kuto Jamhuri ya Kongo LE'GENERAL DEFAO.
Mziki huu wa wakubwa uliweza kuongozwa na RICKY MULOLO mwenyewe hit maker wa MZIZI pamoja na band yake nzima ,mbali na kusherekea huko na kucheza bila jasho LE'GENERAL DEFAO aliweza kuongelea swala zima la marehemu PAPA WEMBA "Kiukweli kama kuna muimbaji niliyekuwa na muheshimu kuliko wote ni marehemu PAPA WEMBA na yeye ndiye aliyenifanya hadi niingilie mziki maana nyimbo zake nilikua nazipenda sana na alikua akinipa moyo sana niliposikia kifo chake kiukweli niliumia sana na sikuamini hadi sasa naona ni kama vile bado niko ndotoni" Alisema Le'General.
Pata kuzitazama picha na video hio isiozidi dakika mbili ya Defao akiongelea swala zima la yeye na marehemu.
Hii hapa video pata kuitazama hapa
Mziki huu wa wakubwa uliweza kuongozwa na RICKY MULOLO mwenyewe hit maker wa MZIZI pamoja na band yake nzima ,mbali na kusherekea huko na kucheza bila jasho LE'GENERAL DEFAO aliweza kuongelea swala zima la marehemu PAPA WEMBA "Kiukweli kama kuna muimbaji niliyekuwa na muheshimu kuliko wote ni marehemu PAPA WEMBA na yeye ndiye aliyenifanya hadi niingilie mziki maana nyimbo zake nilikua nazipenda sana na alikua akinipa moyo sana niliposikia kifo chake kiukweli niliumia sana na sikuamini hadi sasa naona ni kama vile bado niko ndotoni" Alisema Le'General.
Pata kuzitazama picha na video hio isiozidi dakika mbili ya Defao akiongelea swala zima la yeye na marehemu.
Hii hapa video pata kuitazama hapa
Comments
Post a Comment