Skip to main content

NDOTO YA MUIGIZAJI MJ KUTOKA KENYA KUZURU KABURI LA MAREHEMU STEVEN KANUMBA IMETIMIA,HIZI NDIO PICHA ALIZOPIGA KATIKA MAZIARA HAYO AKIAMBATANISHA NA UJUMBE MZITO..

Ni mapema mwaka jana pale ambapo muigizaji kutoka humu nchini Kenya alitangaza wazi kwamba atakua anazuru nchini Tanzania kufanya ziara yake na kikubwa zaidi ni kulitembelea kaburi la aliyekua muigizaji mashuhuri kutoka nchini humo aliye wakilisha Afrika Mashariki.

 MAREHEMU KANUMBA

Akiwa ameambatana na Manager wake Alfan Mjomba walifunga safari yao mpaka nchini humo na kupokelewa vizuri zaidi nakufanya mahojiano katika vituo mbali mbali vya radio nchini humo.

Juma Shibe almaarufu kama MJ aliweza kumtembelea pia mamake marehemu hadi nyumbani kwake ili kumpa pole 

Hizi ndio baadhi ya picha walizopiga kaburini kwa marehemu na nyumbani kwa mamake marehumu..








Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..