NDOTO YA MUIGIZAJI MJ KUTOKA KENYA KUZURU KABURI LA MAREHEMU STEVEN KANUMBA IMETIMIA,HIZI NDIO PICHA ALIZOPIGA KATIKA MAZIARA HAYO AKIAMBATANISHA NA UJUMBE MZITO..
Ni mapema mwaka jana pale ambapo muigizaji kutoka humu nchini Kenya alitangaza wazi kwamba atakua anazuru nchini Tanzania kufanya ziara yake na kikubwa zaidi ni kulitembelea kaburi la aliyekua muigizaji mashuhuri kutoka nchini humo aliye wakilisha Afrika Mashariki.
Akiwa ameambatana na Manager wake Alfan Mjomba walifunga safari yao mpaka nchini humo na kupokelewa vizuri zaidi nakufanya mahojiano katika vituo mbali mbali vya radio nchini humo.
Juma Shibe almaarufu kama MJ aliweza kumtembelea pia mamake marehemu hadi nyumbani kwake ili kumpa pole
Hizi ndio baadhi ya picha walizopiga kaburini kwa marehemu na nyumbani kwa mamake marehumu..
MAREHEMU KANUMBA
Juma Shibe almaarufu kama MJ aliweza kumtembelea pia mamake marehemu hadi nyumbani kwake ili kumpa pole
Hizi ndio baadhi ya picha walizopiga kaburini kwa marehemu na nyumbani kwa mamake marehumu..
Comments
Post a Comment