Skip to main content

LIZZJASOLJA AZUNGUMZIA DAZLAH KUTOKUJA KATIKA "#USIKU WA PAMOJA NA LIZZ" AMBAPO ILIKUA INAMUHUSU.

Usiku wajana Wasanii na washika dau wa mziki walikua wanakutana katika mkahawa wa VALENCIA ambapo ulikua ni #USIKUWAPAMOJANALIZZ kulikua na mchango wa kufariji mwanadada LIZZJASOLJA kwa kumpoteza mamake mzazi

Wasanii tajika walikuepo wakiongozwa na GATES MGENGE wa Pilipilifm pamoja na ARCHY KAWERE ambaye ni ubavu wa JOHNY SKANI,wasanii kama ALKENIALUV,P'DAY,RICHY REE,WYNAS,CASH HORMY pamoja na washikadau wote waliweza kukongamana katika mkahawa huo cha ajabu ni kwamba muhusika aliyekuwa anatarajiwa ambaye ni DAZLAH KIDUCHE hakuweza kuonekana na kulingana na LIZZ aliweza kusema kwamba kuhusu kutofika kwa Dazlah kulimvunja moyo sana lakini ilifika wakati akazoea maana aliweza kufarijiwa na wasanii wenzake wa Dazlah wa CHILEMONDE ambaye ni WYNAS pamoja na CASHHORMY ambao walikua bega kwa bega na shemegi yao huyo ambaye aliweza kupatwa na msiba.


"Kiukweli imeniuma sana maana nilitarajia yeye ndio atakua mtu wakwanza kuwa karibu zaidi na mimi lakini nimekaa hapa mpaka saa hii nimepigia simu ameniambia ameachwa na dadake lakini mi ata saa hii niko sawa kwasababu amenieleza sababu zake za kutofika japo sio za msingi vile, lakini pia nawashukuru waliokuja kunifari kama Wynas na Cash Hormy ambao ni watu wakaribu na yeye pamoja na kila mtu aliyefika" Maneno ya Lizz Hayo.




Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..