EXCLUSIVE STORY| AMOURY BEYBY ASEMA KWAMBA SAA HII AWACHII NYIMBO MOJA TENA MWAKA MZIMA NA KUDAI KUWA HATOLAZA DAMU TENA KATIKA MUZIKI...Soma hapa zaidi
Ikiwa kila msanii katika mziki wake kuna vile anapanga nyimbo zake pamoja na utoaji wa nyimbo zake wengine ni baada ya mwezi mmoja wengine baada ya wiki wengine miezi mitatu lakini kwa msanii AMOURY BEYBY ama ukipenda ARTIST001 ni tofauti yeye huachia nyimbo moja mwaka mzima yaani kila mwaka wimbo mmoja.
BONYEZA HAPA KUIPAKUA
Katika pitepite zetu THEGREATMULLEYMEDIA tuliweza kukutana na ARTIST001 na kutoa kikohozi kilichokua kinamnyonga,tukijua kwamba kwasasa ameachia nyimbo yake ambayo inasumbua katika radio AMOURY alidai kwamba saa hii mashabiki zake hawatongojea tena mwaka mzima ndio wamsikie katika radio La! kila baada ya miezi mitatu atakua anadondosha nyimbo mpya pamoja na video yake.
"KIUKWELI NIMEKUA NIKIACHIA NGOMA ZANGU KILA NGOMA MWAKA MMOJA LAKINI KWASASA TEAM001 HAWATONGOJEA TENA MUDA HUO MREFU SAA HII KILA BAADA YA MIEZI MITATU NITAKUWA NAWAANGUSHIA NYIMBO NA KICHUPA CHAKE" Alisema Amoury.
Aliongezea kusema kwamba kilichokua kinamueka chini na kufanya ngoma moja mwaka mmoja ni kwamba alikuwa kidogo yuko nje ya nchi kununua vyombo vyakufanyia video kama vile,RONIN,DRON,CRAIN pamoja na RED CAMERA na kwasasa vyombo vyote hivyo ameshaviweka mkono na anakodisha kwahivyo saa hii muda wake mwingi utakua kwenye mziki hivyo basi wewe shabiki wake kaa mkao wa kula kwani ni kila baada ya miezi mitatu.
Hii Hapa nyimbo yake MPYA ya SPONSOR ANALEA
Comments
Post a Comment