Kama tunavyojua NYOTA NDOGO ni mmoja ya wasanii wakike wakongwe kutoka Afrika Mashariki na anayefanya vizuri zaidi kimziki.
Mapema wiki jana msanii huyu wakike katika safari yake ya kufanya promo kwa wimbo wake mpya unayojulikana kama SUBIRA YANGU ambao umeweza kupokelewa vizuri zaidi katika radio zote humu nchini pamoja na Afrika Mashariki aliweza kutembelea radio na runinga nchi nzima kuutendea haki wimbo ule.
Nyota aliweza kufunguka mengi kuhusu mziki wake anaoufanya ambao anasema ndio unaomletea ugali kwenye meza,Nyota alidai kwamba yeye sio msanii wakupelekwa na upepo wa watu ama wasanii yeye ni msanii anayejiamini na kuheshimu mashabiki wake na nyimbo zake licha yakwamba zinasikizwa na kila mtu lakini anapenda kufikisha ujumbe kwa jamii "Kiukweli mimi sipendi kuwaangusha mashabiki zangu ambao ndio wanaoniletea unga mezani,sijawahi ata kuguswa na hii mitindo mipya inayochipuka ya west Africa mimi nitabaki kuwa nyota na mtindo wangu utabaki huu huu maana mimi sishindani na mtu yeyote ama msanii yeyote katika industry". Nyota alisema
Aliweza kusema kwamba hizi nyimbo zinazotoka sasa za mbio mbio watu wanafuata upepo tu na wala hawaimbi kile kitu mashabiki wanaitaji lakini yeye katika nyimbo zake anazingatia sana mashairi kuliko mdondo (BEAT) yeye anahitaji mashabiki wapate ujumbe sio wapate Beat.
Ipakue Hapa nyimbo yake mpya SUBIRA YANGU
Mapema wiki jana msanii huyu wakike katika safari yake ya kufanya promo kwa wimbo wake mpya unayojulikana kama SUBIRA YANGU ambao umeweza kupokelewa vizuri zaidi katika radio zote humu nchini pamoja na Afrika Mashariki aliweza kutembelea radio na runinga nchi nzima kuutendea haki wimbo ule.
Nyota aliweza kufunguka mengi kuhusu mziki wake anaoufanya ambao anasema ndio unaomletea ugali kwenye meza,Nyota alidai kwamba yeye sio msanii wakupelekwa na upepo wa watu ama wasanii yeye ni msanii anayejiamini na kuheshimu mashabiki wake na nyimbo zake licha yakwamba zinasikizwa na kila mtu lakini anapenda kufikisha ujumbe kwa jamii "Kiukweli mimi sipendi kuwaangusha mashabiki zangu ambao ndio wanaoniletea unga mezani,sijawahi ata kuguswa na hii mitindo mipya inayochipuka ya west Africa mimi nitabaki kuwa nyota na mtindo wangu utabaki huu huu maana mimi sishindani na mtu yeyote ama msanii yeyote katika industry". Nyota alisema
Aliweza kusema kwamba hizi nyimbo zinazotoka sasa za mbio mbio watu wanafuata upepo tu na wala hawaimbi kile kitu mashabiki wanaitaji lakini yeye katika nyimbo zake anazingatia sana mashairi kuliko mdondo (BEAT) yeye anahitaji mashabiki wapate ujumbe sio wapate Beat.
Comments
Post a Comment