EXCLUSIVE STORY| WYNAS ADAIKWAMBA KUTOWEKWA KWENYE AWARDS HAKUWEZI KUFANYA NDOTO ZAKE ZIDIDIMIE BALI KUMEMPA CHANGA MOTO KUBWA YAKUFANYA KAZI NZURI ZAIDI.....Soma Hapa
Kila mmoja akiskia jina WYNAS sio geni katika maskio yake kama hajamskia katika radio basi atakua keshamuona katika runinga ama kumuona katika mtandao ivo basi sio mgeni kwetu.
WYNAS ni mmoja ya wasanii wazuri sana kisauti na katika kushika mike na mashairi yake ni mashairi mazuri na yaliokwenda shule,chakushangaza ni kwamba msanii huyu katika mziki mpaka saa hii anamwaka wa WANNE na hajawahi kuteuliwa katika tuzo (AWARDS) amakinyang'anyiro chochote yaani kama vile ametengwa.
MApema leo hii hit maker huyu wa KITORIRO na SARE SARE aliweza kufunguka yamoyonintukizingatia ni kwamba kuna TUZO ambazo kwasasa za MOMBASA AWARDS2016 zinaendelea na msanii huyu ni mmoja ya wale ambao hawakuteuliwa katika kitengo chochote,
Wynas alisema kwamba yeye kutoteuliza katika tuzo hizo hazijamfanye afae maji na aache mziki kwani ni tuzo nyingi zimefanyika na yeye ameekwa nje kwahivyo haijamtishia hata kidogo na pia imempa nguvu ya kufanya kazi zaidi kwani inaonekana kuna kitu bado hajatimiza katika mziki wake na wenzake wametimiza hivyo basi anakifanyia kazi kitu icho japo kuwa yeye mwenyewe hakijui.
"MIMI KUTOTEULIWA KATIKA TUZO HIZO HAKUJANIFANYA NIFE MOYO NA NIACHE MZIKI KWANI NI MAMBO AMBAYO NIMEYAZOEA MAANA MIMI NINA MIAKA MINNE KATIKA MZIKI LAKINI SIJAONA TUZO YOYOTE NIMEEKWA, KIKUBWA ZAIDI MIMI NAZIDI KUFANYA BIDII KATIKA MZIKI WANGU ILI MASHABIKI WANGU WAFURAHIE NA NILETE HESHIMA NYUMBANI KWAHIVYO HILO JAMBO LINAVUNJA MOYO SANA ILA MIMI SINA ISHU NA MTU YOYOTE MAANA WAO NDIO WALIO PANGA NA SIJUI WALITUMIA NJIA GANI KUPANGA TUZO IZO CHAMSINGI NI KWAMBA MIMI NIKO NYUMA YAO WALE WOTE WAIOTEULIWA NA NAZID KUWAOMBEA MUNGU IVOO TU". Alisema hayo Msanii Wynas
Aliongeza kwamba yeye atafanya kazi nzuri na nyingi zaidi ili kufikia malengo yake na kutimiza ndoto zake na wala hajakata tamaa.
WYNAS ni mmoja ya wasanii wazuri sana kisauti na katika kushika mike na mashairi yake ni mashairi mazuri na yaliokwenda shule,chakushangaza ni kwamba msanii huyu katika mziki mpaka saa hii anamwaka wa WANNE na hajawahi kuteuliwa katika tuzo (AWARDS) amakinyang'anyiro chochote yaani kama vile ametengwa.
MApema leo hii hit maker huyu wa KITORIRO na SARE SARE aliweza kufunguka yamoyonintukizingatia ni kwamba kuna TUZO ambazo kwasasa za MOMBASA AWARDS2016 zinaendelea na msanii huyu ni mmoja ya wale ambao hawakuteuliwa katika kitengo chochote,
Wynas alisema kwamba yeye kutoteuliza katika tuzo hizo hazijamfanye afae maji na aache mziki kwani ni tuzo nyingi zimefanyika na yeye ameekwa nje kwahivyo haijamtishia hata kidogo na pia imempa nguvu ya kufanya kazi zaidi kwani inaonekana kuna kitu bado hajatimiza katika mziki wake na wenzake wametimiza hivyo basi anakifanyia kazi kitu icho japo kuwa yeye mwenyewe hakijui.
"MIMI KUTOTEULIWA KATIKA TUZO HIZO HAKUJANIFANYA NIFE MOYO NA NIACHE MZIKI KWANI NI MAMBO AMBAYO NIMEYAZOEA MAANA MIMI NINA MIAKA MINNE KATIKA MZIKI LAKINI SIJAONA TUZO YOYOTE NIMEEKWA, KIKUBWA ZAIDI MIMI NAZIDI KUFANYA BIDII KATIKA MZIKI WANGU ILI MASHABIKI WANGU WAFURAHIE NA NILETE HESHIMA NYUMBANI KWAHIVYO HILO JAMBO LINAVUNJA MOYO SANA ILA MIMI SINA ISHU NA MTU YOYOTE MAANA WAO NDIO WALIO PANGA NA SIJUI WALITUMIA NJIA GANI KUPANGA TUZO IZO CHAMSINGI NI KWAMBA MIMI NIKO NYUMA YAO WALE WOTE WAIOTEULIWA NA NAZID KUWAOMBEA MUNGU IVOO TU". Alisema hayo Msanii Wynas
Aliongeza kwamba yeye atafanya kazi nzuri na nyingi zaidi ili kufikia malengo yake na kutimiza ndoto zake na wala hajakata tamaa.
Comments
Post a Comment