Baada ya kuwaletea BADO akiwa na boss wake DIAMOND PLATNUMZ amerudi tena katika kioo chako na nyimbo mya inayojulikana kama MATATIZO
Video hio imeweza kuketiwa chini na Director kutoka humo humo nchini TANZANIA anayekwenda kwa jina PABLO ambae jina lake limeweza kuonekana sana katika video nyingi za kutoka MKUBWA NA WANAWE.
Video ndio hii hapa itazame
Video ndio hii hapa itazame
Comments
Post a Comment