Hii ni nyimbo mpya iliotoka ivi majuzi ambapo ni ya waanii wawili wakali wa vocals walioshirikiana ambaye ni C-NEW akiwa amemshirikisha hit maker wa KUNGURU anayekwenda kwajina CHIKUZEE,nyimbo hio wameipa jina la UMENUNA BURE.
Je ni nani huyu alienuna bure ambae CHIKUZEE na C-NEW ambaye wamemuimba?
Download hapa..
Je ni nani huyu alienuna bure ambae CHIKUZEE na C-NEW ambaye wamemuimba?
Download hapa..
Comments
Post a Comment