Skip to main content

EXCLUSIVE STORY||| BAADA YA KUACHIA VIDEO YAKE YA "SUBIRA YANGU" MSANII MKONGWE WAKIKE NYOTA NDOGO AANZISHA BIASHARA NYENGINE YA VIKAPU PAMOJA NA VIATU VYA KISWAHILI

Ikiwa ni siku nne tangu NYOTA NDOGO kuachia video ya nyimbo yake ya SUBIRA YANGU na kupokelewa vizuri na mashabiki.


Kupitia mtandao wake wa facebook Nyota aliweza kuweka wazi mikoba ya kiswahili yakuendea sokoni na pia shughuli zenginemnakusema kwa mbali na mziki hio ndio biashara ambayo ameianzisha na atakuwa anafanya biashara hio pamoja na yakuuza viatu vyakike vya kiswahili.

Kupitia page yake ya facebook haya ndio aliyoyaandika..



Tukiongea na Nyota Hit maker wa Subira aliwezakumdokezea mdaku wetu kwamba biashara hio pia inamaanisha kwamba riziki lazima uitafute kwa kila njia ili kukidhi mahitaji ya familia pasi na kumtegemea mzee wa nyumba.

Hii ndio Bei ya Mikoba Hio Pamoja na Viatu vyake..

VIKAPU NI-1800/=

VIATU NI SHILINGI-1000/=

Hii Ndio Mikoba Yenyewe ambayo Nyota anauza.




Na aliweza kuwaangushia namba ya WHATS-APP wale watakaokuwa wako mbali na yeye na mizigo itawafikia popote walipo namba yenyewe ndio hii 0727300556  Ukipiga namba hio mzigo utakua unakufikia popote ulipo.


Kama Bado hujapata kuitizama video mpya ya SUBIRA YANGU itazame hapa

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..