Video ya KIGARIMBWE ya Ontozzy inayofanya vizuri katika media yamkosanisha msanii huyo na Mamake pamoja na Mke wake.
Ni takriban mwezi mmoja tangu huyu msanii kuachia video yake inayokwenda kwa jina KIGARIMBWE,kumbuka kila akipigia show nyimbo hio aliomshirikisha FAT-S anaonekana mwenye raha lakini kumbe kuna watu hawajipenda video ya nyimbo hio kabisa akiwepo mamake pamoja na mkewe wa ndoa "Nilipomaliza kushoot video hio na BULLET kuitengeneza hadi kuimaliza aliweza kuniita na kunipa video hio lakini nilipoipeleka nyumbani na kuitazama pamoja na mama watoto wangu aliweza kuenuka na kuendajikoni sikumuelewa hadi ilipoisha,niliweza kumuuliza maoni yake na hakuweza kuvumilia na kuniambia peupe kwamba hajapendezwa na warembo waliokuwa katika video hio walivyokuwa wanacheza na visikati vyao niliweza kum'bembeleza anielewe kuwa ile ni kazi lakini ni kama maneno yangu nilikua na yatupa chooni maana yaliingia na sikio la kulia na kuingia kushoto" Alisema Ontozzy.
Mbali na hivyo alisema kwamba alimpelekea malalamishi hayo Editor na Director wa video hio ambaye si mwengine ia BULLET BABA YAO ambapo aliweza kumuelewa na kuiedit tena alipoipeleka yalijirudia yaleyale na mkewe kumwambia mamake kwamba mwanawe ameharibika huku Mombasa anatoa video akiwa na wanawake ambao wako uchi,Ontozzy aliwezakusema ripoti hio ilipomfikia mamake mzazi ndio ilikuwa balaa zaidi maana alimwambia hayuko radhi na yeye na kama usanii ni huo bora arudi shamba akalime "Nilimketisha chini editer wangoma yangu nikamueleza nimeoa na mke wangu kanisaidia pakubwa kulipa video ya KIGARIMBWE, kwaio maswala ya kuekwa karibu na wanawake itakua ngumu, Jibu nililopata "haina shida" kisha kazi yakushoot akaanza na kuisha Salama, baada ya week mbili nkatumiwa raffcopy sikuipenda ilikua chafu shida ile ya CHURA by SNURRA, nilipomuliiza BULLET the BABAZ a.k.a MUNYAMA, alidaisha hio song yako inataka io video, nilipowaonyesha watu Wangu team_MABINAMU, wakasema n Kali sana but haitacheza Kwa MEDIA........" alisema hayo akiwa na hasira nyingi kupindukia.
Hii ndio Video ya KIGARIMBWE.
Ni takriban mwezi mmoja tangu huyu msanii kuachia video yake inayokwenda kwa jina KIGARIMBWE,kumbuka kila akipigia show nyimbo hio aliomshirikisha FAT-S anaonekana mwenye raha lakini kumbe kuna watu hawajipenda video ya nyimbo hio kabisa akiwepo mamake pamoja na mkewe wa ndoa "Nilipomaliza kushoot video hio na BULLET kuitengeneza hadi kuimaliza aliweza kuniita na kunipa video hio lakini nilipoipeleka nyumbani na kuitazama pamoja na mama watoto wangu aliweza kuenuka na kuendajikoni sikumuelewa hadi ilipoisha,niliweza kumuuliza maoni yake na hakuweza kuvumilia na kuniambia peupe kwamba hajapendezwa na warembo waliokuwa katika video hio walivyokuwa wanacheza na visikati vyao niliweza kum'bembeleza anielewe kuwa ile ni kazi lakini ni kama maneno yangu nilikua na yatupa chooni maana yaliingia na sikio la kulia na kuingia kushoto" Alisema Ontozzy.
Mbali na hivyo alisema kwamba alimpelekea malalamishi hayo Editor na Director wa video hio ambaye si mwengine ia BULLET BABA YAO ambapo aliweza kumuelewa na kuiedit tena alipoipeleka yalijirudia yaleyale na mkewe kumwambia mamake kwamba mwanawe ameharibika huku Mombasa anatoa video akiwa na wanawake ambao wako uchi,Ontozzy aliwezakusema ripoti hio ilipomfikia mamake mzazi ndio ilikuwa balaa zaidi maana alimwambia hayuko radhi na yeye na kama usanii ni huo bora arudi shamba akalime "Nilimketisha chini editer wangoma yangu nikamueleza nimeoa na mke wangu kanisaidia pakubwa kulipa video ya KIGARIMBWE, kwaio maswala ya kuekwa karibu na wanawake itakua ngumu, Jibu nililopata "haina shida" kisha kazi yakushoot akaanza na kuisha Salama, baada ya week mbili nkatumiwa raffcopy sikuipenda ilikua chafu shida ile ya CHURA by SNURRA, nilipomuliiza BULLET the BABAZ a.k.a MUNYAMA, alidaisha hio song yako inataka io video, nilipowaonyesha watu Wangu team_MABINAMU, wakasema n Kali sana but haitacheza Kwa MEDIA........" alisema hayo akiwa na hasira nyingi kupindukia.
Hii ndio Video ya KIGARIMBWE.
Comments
Post a Comment