WASANII KUTOKA AFRIKA MASHARIKI KUPATA SABABU YA KUTABASAMU HII BAADA YA TRACE TV KUFUNGUA KITUO KIPYA CHA TRACE MZIKI
Kituo cha televisheni cha TRACETV kinachoaminika kupeperusha nyimbo mpya na kali kutoka Afrika pamoja na Uingereza.
TRACETV Mwezi ujao watakua wanazindua kituo kipya kinachokwenda kwajina TRACE MZIKI ambacho kitakua kinacheza asilimia {100%} mziki wa kutoka Hapa Africa Mashariki.
Nchi zitakazo nufaika na kituo hicho ni KENYA,UGANDA,TANZANIA,RWANDA,BURUNDI ambapo kitakua kinazindua video mpya za wasanii kutoka Afrika MAshariki,
Mbali na TRACE MZIKI pia watakuwa wanazindua vituo vyengine viwili ambapo ni TRACE NAIJA pamoja na TRACE AFRICA kumbuka kitakua kianaaznza kupeperusha ratiba zake tarehe moja mwezi ujao yaani 1|09|2016.
TRACETV Mwezi ujao watakua wanazindua kituo kipya kinachokwenda kwajina TRACE MZIKI ambacho kitakua kinacheza asilimia {100%} mziki wa kutoka Hapa Africa Mashariki.
Nchi zitakazo nufaika na kituo hicho ni KENYA,UGANDA,TANZANIA,RWANDA,BURUNDI ambapo kitakua kinazindua video mpya za wasanii kutoka Afrika MAshariki,
Mbali na TRACE MZIKI pia watakuwa wanazindua vituo vyengine viwili ambapo ni TRACE NAIJA pamoja na TRACE AFRICA kumbuka kitakua kianaaznza kupeperusha ratiba zake tarehe moja mwezi ujao yaani 1|09|2016.
Comments
Post a Comment