Skip to main content

TGM254:NEW AUDIO ALERT|||| MAFIOSO-AM GLAD||| LISTEN/DOWNLOAD HERE..


MAFIOSO ni moja wapo ya makundi ya yanayofanya vizuri tu kimziki katika maeneo ya KWALE COUNTY yaani UKUNDA na DIANI na wako vija watatu akiwemo RUKSY,BEATZBOY pamoja na PIESCES.
Kwa mara hii wamekuletea nyimbo moja ivi yakujirusha maana msimu ndio kama ivo unaelekea kuingia kwenye shehe ivi basi wamekuletea track yao mpya inayokwenda kwajina AM GLAD iliotengenezwa katika studio za THURNDER SOUND chini ya produza mkongwe SHERRIFF pamoja na mmoja kati ya wasanii hao anayekwenda kwajina THE BEATS BOY.



Pata kuipakua Hapa Chini upate Burudani kamili....



Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..