EXCLUSIVE STORY||| MSANII OHZY BAADA YA KUEKA MUZIKI KANDO AINGLIA URAIBU HUU HAPA...Bonyeza upate uhondo.
Msanii OHZY ukipenda T.U (Tayari Ushajua) aliweza kueka sakata la muziki kando ili kuwajibika na mambo yake ya kijamii pamoja na kumtunza mke wake beautiful Onyinye wake.
Katika show kubwa ya BlazeKenya iliofanyika weekendi iliopita msanii huyo alionekana akiwa na mwenzake ambaye alikua ni DAZ EX akiwa ametoboa kipuli cha pua yaani KIDANI cha pua,mbali na hapo pia katika ukurasa wake wa Faceboo na Instagram aliweza kushare picha akiwa na Daz Ex kipuli kikionekana uku akiweka Caption ya "CHUMA KWENYE PUA" swali ni jee ameacha mziki na kuingilia ubishow?
Katika maojiano yetu naye msanii huyo wa kundi la X-MATHARE aliweza kusema kwamba kutoboa pua ni mapambo tu na sio ati ana maana nyengine na ameamua kutoboa pua kwasababu ni mapenzi yake na amependa yeye mwenyewe "Sio ati nimetoboa pua kwakuiga watu la! nimetoboa kwa mapenzi yangu na hakuna aliyenishawishi ila mimi mwenyewe na nafsi yangu na pia nashkuru mama watoto wangu swala hili hajalibeba kiuzito na pia amenipongeza na kuniambia nimependeza" Maneno ya Ohzy hayo.
Tukiachana na hayo pia aliweza kutudokeza kwamba yeye hajawacha mziki ila kazi za utayarishaji wa vipindi ndio vimembana ila soon atarudi ndani ya maskio yako na kitu kikali,kumbuka pia Ohzy anafanya kazi chini ya kampuni ya ASHINER PICTURES inayoongozwa na Ann Hamberger na yeye yuko katika kitengo cha Editting.
Hizi ndio picha tulizozinasa akiwa ameweka Chuma kwenye pua.
Katika show kubwa ya BlazeKenya iliofanyika weekendi iliopita msanii huyo alionekana akiwa na mwenzake ambaye alikua ni DAZ EX akiwa ametoboa kipuli cha pua yaani KIDANI cha pua,mbali na hapo pia katika ukurasa wake wa Faceboo na Instagram aliweza kushare picha akiwa na Daz Ex kipuli kikionekana uku akiweka Caption ya "CHUMA KWENYE PUA" swali ni jee ameacha mziki na kuingilia ubishow?
Katika maojiano yetu naye msanii huyo wa kundi la X-MATHARE aliweza kusema kwamba kutoboa pua ni mapambo tu na sio ati ana maana nyengine na ameamua kutoboa pua kwasababu ni mapenzi yake na amependa yeye mwenyewe "Sio ati nimetoboa pua kwakuiga watu la! nimetoboa kwa mapenzi yangu na hakuna aliyenishawishi ila mimi mwenyewe na nafsi yangu na pia nashkuru mama watoto wangu swala hili hajalibeba kiuzito na pia amenipongeza na kuniambia nimependeza" Maneno ya Ohzy hayo.
Tukiachana na hayo pia aliweza kutudokeza kwamba yeye hajawacha mziki ila kazi za utayarishaji wa vipindi ndio vimembana ila soon atarudi ndani ya maskio yako na kitu kikali,kumbuka pia Ohzy anafanya kazi chini ya kampuni ya ASHINER PICTURES inayoongozwa na Ann Hamberger na yeye yuko katika kitengo cha Editting.
Hizi ndio picha tulizozinasa akiwa ameweka Chuma kwenye pua.
Comments
Post a Comment