Nassizu ni msanii kutoka Meru/Kenya mwenye asili ya kipwani ambapo ni mmoja ya wasanii waliojaliwa na vocals na anapiga sana mtindo wa afro pop.
Mapema mwaka huu Nassizu aliweza kuweka wazi kwamba yuko tayari kuhamia TZA na kujiunga na team nzima ya WCB na kuonekana amepiga picha ndani ya studio izo za WASAFI akiwa na muanzilishi wa Record lable hio hapa namzungumzia DIAMOND PLATNUMZ ambapo mitandao yote iliweza kuwataarifu mashabiki anahamia pande zile za +255.
Nassizu ambaye kwasasa anatamba na nyimbo yake inayokwenda kwajina MAWAZO tuliweza kuwasiliana naye na kuweza kutudokezea kwamba azma yake kwenda W.C.B bado iko tena sana ila kuna vitu kadhaa ambayo management yake inayokwenda kwajina WATANASHATI CLASSIC bado inavishughulikia ndio akanyage kule akiwa kikamilifu "Si unajua lazima ujifue vizuri ndio uwende kule mpaka uwe na mikoba ya kueleweka maana nikienda WCB siendi kama Nassizu ila naenda kama Kenya" Tuliweza kumnukuu akiyasema hayo na kuongezea kwamba mwaka ujao Mungu akimuwezesha ataweza kufika uko uko.
Pata kuitazama video yake mpya ya MAWAZO iliyoongozwa na JOHNSON KYALO "MAWAZO"
Mapema mwaka huu Nassizu aliweza kuweka wazi kwamba yuko tayari kuhamia TZA na kujiunga na team nzima ya WCB na kuonekana amepiga picha ndani ya studio izo za WASAFI akiwa na muanzilishi wa Record lable hio hapa namzungumzia DIAMOND PLATNUMZ ambapo mitandao yote iliweza kuwataarifu mashabiki anahamia pande zile za +255.
Nassizu ambaye kwasasa anatamba na nyimbo yake inayokwenda kwajina MAWAZO tuliweza kuwasiliana naye na kuweza kutudokezea kwamba azma yake kwenda W.C.B bado iko tena sana ila kuna vitu kadhaa ambayo management yake inayokwenda kwajina WATANASHATI CLASSIC bado inavishughulikia ndio akanyage kule akiwa kikamilifu "Si unajua lazima ujifue vizuri ndio uwende kule mpaka uwe na mikoba ya kueleweka maana nikienda WCB siendi kama Nassizu ila naenda kama Kenya" Tuliweza kumnukuu akiyasema hayo na kuongezea kwamba mwaka ujao Mungu akimuwezesha ataweza kufika uko uko.
Pata kuitazama video yake mpya ya MAWAZO iliyoongozwa na JOHNSON KYALO "MAWAZO"
Comments
Post a Comment