Skip to main content

EXCLUSIVE STORY|||JE AZMA YA YA NASSIZU MURUME KWENDA WCB BADO IKO? PATA STORY NZIMA HAPA

Nassizu ni msanii kutoka Meru/Kenya mwenye asili ya kipwani ambapo ni mmoja ya wasanii waliojaliwa na vocals na anapiga sana mtindo wa afro pop.
Mapema mwaka huu Nassizu aliweza kuweka wazi kwamba yuko tayari kuhamia TZA na kujiunga na team nzima ya WCB na kuonekana amepiga picha ndani ya studio izo za WASAFI akiwa na muanzilishi wa Record lable hio hapa namzungumzia DIAMOND PLATNUMZ ambapo mitandao yote iliweza kuwataarifu mashabiki anahamia pande zile za +255.

Nassizu ambaye kwasasa anatamba na nyimbo yake inayokwenda kwajina MAWAZO tuliweza kuwasiliana naye na kuweza kutudokezea kwamba azma yake kwenda W.C.B bado iko tena sana ila kuna vitu kadhaa ambayo management yake inayokwenda kwajina WATANASHATI CLASSIC bado inavishughulikia ndio akanyage kule akiwa kikamilifu "Si unajua lazima ujifue vizuri ndio uwende kule mpaka uwe na mikoba ya kueleweka maana nikienda WCB siendi kama Nassizu ila naenda kama Kenya" Tuliweza kumnukuu akiyasema hayo na kuongezea kwamba mwaka ujao Mungu akimuwezesha ataweza kufika uko uko.


Pata kuitazama video yake mpya ya MAWAZO iliyoongozwa na JOHNSON KYALO "MAWAZO"

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..