Harry Genius ni msanii wa Hip Hop kutoka chimbuko la Mombasa ambaye kwasasa anapania kuketia kiti cha Hip Hop baada ya KAA LA MOTO kupiga kimya cha mtu mzima je ataweza?
GENIUS Kichupa chake cha kwanza kilijulikana kama SONGA alichomshirikisha msanii mkongwe Fat S ambayo iliweza kupokelewa vizuri na media zote na kufanya vizuri.
Round hii amerudi tena na HAPA KATI nyimbo aliyoweza kuwapa shavu DRAFT pamoja na HASHIZO ambapo kwasasa ndio iko hewani inaendelea kutawala anga,imeweza kupikwa katika studio za THURNDER SOUND mkono wa SHERIFF (MORBIZ) kichupa kimeweza kongozwa na Director kutoka Nairobi anayekwenda kwajina EZRA MANANI.
Pata kuitizama video hio mpya kwa kubonyeza link hapo chini "HAPA KATI"
GENIUS Kichupa chake cha kwanza kilijulikana kama SONGA alichomshirikisha msanii mkongwe Fat S ambayo iliweza kupokelewa vizuri na media zote na kufanya vizuri.
Round hii amerudi tena na HAPA KATI nyimbo aliyoweza kuwapa shavu DRAFT pamoja na HASHIZO ambapo kwasasa ndio iko hewani inaendelea kutawala anga,imeweza kupikwa katika studio za THURNDER SOUND mkono wa SHERIFF (MORBIZ) kichupa kimeweza kongozwa na Director kutoka Nairobi anayekwenda kwajina EZRA MANANI.
Pata kuitizama video hio mpya kwa kubonyeza link hapo chini "HAPA KATI"
Comments
Post a Comment