Best vocalist ambaye hapo mwanzo alikua akijulikana kama SUDI BOY ambaye kwa sasa amegeuza jina n akujiita SUDI BIN SUDI amekuja tena na mtindo tofauti.
Kama tunavyimjua SUDI ni msanii sana sana wa mapaaenazai ila hivi karibuni msanii huyu amekua akigeuz mtindo wake wa na kuingilia mtindao tofauti, mwaka jana aliweza kutufungia mwaka na nyimbo iliosemekana kwa alimuimbia marehemu sana ambaye alikua ni mke wake nyimbo ilikua inakwenda kwajina KIDONDA mwaka huu msanii huyo ameweza kutufungulia mwaka na nyimbo yake mpya inayokwenda kwajina MAULANA.
Maulana ni nyimbo iliojawa na hisia nyingini sana,nyimbo hii inazungumzia maisha ya kawaida na pia inakutia imani kwamba MAULANA ndio kila kitu maanaa yeye mueza wa yote .
Pata kuitizama video hio hapa.
Comments
Post a Comment