Skip to main content

TEN DOWN WAMERUDI TENA KWENYE MASIKIO YAKO NA ROUND HII SI MCHEZO "PARTY" NDIO JINA LA NYIMBO.....IPATE HAPA


Kundi tata La Hip Hop kutoka Mji wa watalii (MALINDI) limerudi tena katka anga zako ili kukuburudisha.

Kundi hili ambalo linaongozwa na vichwa viwili na sio kumi kama wanavyojiita ambapo ni DAUBLE D akiwa na SHARK B,wamekuletea mziki wao mpya unaokwenda kwajina PARTY ambapo track hio imeweza kuketiwa chini na SHERIFF ndani ya studio za GOOD TIME RECORDS ya kule Malindi.


Pata kuipakua nyimbo hio hapa.
TEN DOWN-PARTY

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..