TEN DOWN WAMERUDI TENA KWENYE MASIKIO YAKO NA ROUND HII SI MCHEZO "PARTY" NDIO JINA LA NYIMBO.....IPATE HAPA
Kundi tata La Hip Hop kutoka Mji wa watalii (MALINDI) limerudi tena katka anga zako ili kukuburudisha.
Kundi hili ambalo linaongozwa na vichwa viwili na sio kumi kama wanavyojiita ambapo ni DAUBLE D akiwa na SHARK B,wamekuletea mziki wao mpya unaokwenda kwajina PARTY ambapo track hio imeweza kuketiwa chini na SHERIFF ndani ya studio za GOOD TIME RECORDS ya kule Malindi.
Pata kuipakua nyimbo hio hapa.
TEN DOWN-PARTY
Comments
Post a Comment