Skip to main content

EXCLUSIVE NEWS|||||UJUMBE WA MWISHO WA ZARI KWENDA KWA MAREHEMU IVAN BABA WA WATOTO WAKE WATATU...Soma Hapa



Baada ya Ivan Ssemwanga kufariki wiki iliyopita nchini Afrika Kusini kutokana na maradhi ya moyo na kuzikwa Jumanne hii katika makaburi ya ukoo wake yaliyopo Kayunga nchini Uganda – Zari The Bosslady ameonekana kuumizwa zaidi na kifo cha aliyekuwa mumewe.

      Zari akiwa na watoto wake katika siku ya mazishi ya Ivan Ssemwanga

Malkia huyo wa Diamond, ameandika ujumbe kupitia mtandao wa Instagram wa kumtakia marehemu apumzike kwa amani huko alipo na pia amewashukuru wote ambao wamekuwa karibu na familia hiyo katika kipindi hiki kigumu.
“Death robbed you from us but I strongly believe you are in a better place now that you are with God. Your physical presence will be missed but you will forever be remembered,” ameandika Zari katika picha hiyo hapo chini aliyoiweka katika mtandao huo.

 
“Till we meet again, Rest in eternal peace Ivan The Don🌹 Allow me to thank everyone who has been here for my family during this trying time. God bless you,” ameongeza.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO

EXCLUSIVE: DOWNLOAD WIMBO MPYA WA TANZANITE ALIYO MUIMBIA LULU WA BONGO MOVIE

Pata kudownload na kuskiza hapa chini....

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.