EXCLUSIVE STORY:HIKI NDICHO KIMA CHA HELA ALICHOTUMIA C’NEW ALIPOKUA TZ KU-SHOOT VIDEO YAKE “MINATAKA”ALIYOMSHIRIKISHA DULLY SYKES A.K.A MR.MISIFA..
C’NEW BEYBY atakuandiyemsaniiwakwanzakutokaKenya
kufanyaCollabonamsaniimkongwekutoka Tanzania anayekwendakwajinaDULLY SYKES.
Wiki hiiTHE GREAT MULLEY MEDIAtuliwezakufanikiwakumpatamsaniianayejifuatenaakaliekiti
cha usaniianayetambanangomayakeyaMINATAKAaliyofunga
safari nakwenda Bongo kuitengenezakatika studio zaSTUDIO 4.12inayomilikiwanaDULLY
SYKES.
Aliwezakutudokezeakwambakiwango
cha pesaalichotumia Bongo nikikubwasanatakriban1.5M ambapotulijitahiditujueilikuanipesangapihaswailambinuzetuziligongamwamba
pale aliposema management yakehaaijmruhusuyeyekutajakima cha
pesaalichotumiamaanaaliwezakufanya media Tour Bongo nzimaikiwani radio
pamojanaT.vza Bongo.
“Ni
pesanyingisananilizotumiakuanziakwendaTzpamojanakufanya
promo kazizangunaambazosijazitoakwasasanakumlipa Director aliyenifanyia video
ya MINATAKA niliomshirikisha PRINCE DULLY SYKES kutajanawezaila management
yanguhaijanipakibaliicho cha kutajakima cha helatulichokitumia”
Alisemaivo C’NEW
C’New ni mmoja wapo ya wasanii wanaojituma zaidi kutoka
Mombasa
anayepigana ili kufanya fani yetu ya mziki isongeembele hio ni baada ya kupiga kazi tatu kubwa zilizomgharimu mtonyomrefu.
Patakuitazama
video yakehapa..
Comments
Post a Comment