Skip to main content

EXCLUSIVE STORY|||KALICHA AAMUA KUJA KI-ASLAY KATIKA NYANJA YA MZIKI WA PWANI....

Kalicha mmoja wa wasanii waliojaa sauti (Vocals) aamua kuja kivyengine mbali na mwanzo wake kuanza kuimba.
Kutoka kaunti ya Mombasa msanii KALICHA MUSIC ameamua kuja na njia nyengine tofauti na ya bei ghali kwa kuachiaa video zake kwa mkupuo yaani kwa wingi ambao hakuna msanii yoyote ambae ameweza kufanya anavyofanya msanii huyo.

Kwasasa Youtube Channel yake ameweza kueka video mpya tatu ndani ya mwezi mmoja ambapo video izo zinafanya vizuri kwa kutizamwa,tukiongea nae mapema wiki hii aliweza kutudokezea kwamba yeye ameamua kufanya kazi tu zionekane  kwasababa amekua akiimba sana kipindi cha nyuma bila kuonekana katika kioo na aliweza kuongezea kwamba yeye hana management yoyote kazi hizo ni uwezo wake yeye mwenyewe akishirikiana na director wake anayetambulika kama WIZZOH CLASSIC.

Video na nyimbo izo ni kama Pole pole,Moyo Wangu na mpya ambayo ameachia wiki mbili zilizopita inajulikana kama WAY TO YOUR HEART na amesema kuna video zengine ambazo zinatarajiwa kuachiliwa wiki ijayo,tulipomuuliza kama huo muondoko ameweza kuunyakua kw msanii wa bongo ASLAY aliwezaa kukanusha madai hayo na kudai yeye apendi kuiga mtu yeyote msanii ni mtu m'bunifu ivo basi hio ni njia yake ambayo ameibuni kuingia katika mziki vizuri.

Pata kuzitazama video zoke kwa kubonyeza hizi link hapa chini

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..