Kalicha mmoja wa wasanii waliojaa sauti (Vocals) aamua kuja kivyengine mbali na mwanzo wake kuanza kuimba.
Kutoka kaunti ya Mombasa msanii KALICHA MUSIC ameamua kuja na njia nyengine tofauti na ya bei ghali kwa kuachiaa video zake kwa mkupuo yaani kwa wingi ambao hakuna msanii yoyote ambae ameweza kufanya anavyofanya msanii huyo.
Kwasasa Youtube Channel yake ameweza kueka video mpya tatu ndani ya mwezi mmoja ambapo video izo zinafanya vizuri kwa kutizamwa,tukiongea nae mapema wiki hii aliweza kutudokezea kwamba yeye ameamua kufanya kazi tu zionekane kwasababa amekua akiimba sana kipindi cha nyuma bila kuonekana katika kioo na aliweza kuongezea kwamba yeye hana management yoyote kazi hizo ni uwezo wake yeye mwenyewe akishirikiana na director wake anayetambulika kama WIZZOH CLASSIC.
Video na nyimbo izo ni kama Pole pole,Moyo Wangu na mpya ambayo ameachia wiki mbili zilizopita inajulikana kama WAY TO YOUR HEART na amesema kuna video zengine ambazo zinatarajiwa kuachiliwa wiki ijayo,tulipomuuliza kama huo muondoko ameweza kuunyakua kw msanii wa bongo ASLAY aliwezaa kukanusha madai hayo na kudai yeye apendi kuiga mtu yeyote msanii ni mtu m'bunifu ivo basi hio ni njia yake ambayo ameibuni kuingia katika mziki vizuri.
Pata kuzitazama video zoke kwa kubonyeza hizi link hapa chini
Kutoka kaunti ya Mombasa msanii KALICHA MUSIC ameamua kuja na njia nyengine tofauti na ya bei ghali kwa kuachiaa video zake kwa mkupuo yaani kwa wingi ambao hakuna msanii yoyote ambae ameweza kufanya anavyofanya msanii huyo.
Kwasasa Youtube Channel yake ameweza kueka video mpya tatu ndani ya mwezi mmoja ambapo video izo zinafanya vizuri kwa kutizamwa,tukiongea nae mapema wiki hii aliweza kutudokezea kwamba yeye ameamua kufanya kazi tu zionekane kwasababa amekua akiimba sana kipindi cha nyuma bila kuonekana katika kioo na aliweza kuongezea kwamba yeye hana management yoyote kazi hizo ni uwezo wake yeye mwenyewe akishirikiana na director wake anayetambulika kama WIZZOH CLASSIC.
Video na nyimbo izo ni kama Pole pole,Moyo Wangu na mpya ambayo ameachia wiki mbili zilizopita inajulikana kama WAY TO YOUR HEART na amesema kuna video zengine ambazo zinatarajiwa kuachiliwa wiki ijayo,tulipomuuliza kama huo muondoko ameweza kuunyakua kw msanii wa bongo ASLAY aliwezaa kukanusha madai hayo na kudai yeye apendi kuiga mtu yeyote msanii ni mtu m'bunifu ivo basi hio ni njia yake ambayo ameibuni kuingia katika mziki vizuri.
Pata kuzitazama video zoke kwa kubonyeza hizi link hapa chini
Comments
Post a Comment