Ziky Kenya ni mmoja ya wasanii wazuri tu kutokea hapa nchini Kenya katika jimbo la Mombasa na yuko chini ya Madam boss Akothee.
Msanii huyo mapema hii leo ameweza kuweka wazi jambo linalo mkera na kumkereketa kuhusiana na mziki wa Mombasa na Kenya kwa ujumla.Ziky aliweza kunyoosha maneno yake yakiwa yamejawa na uchungu mwingi kutoka roho ambapo aliweza kueleza bila kuogopa jinsi washikadau wetu wamuziki wanababaikia wasanii kutoka nchi za nje wakiwa wanakuja kufanya matamasha yao mjini Mombasa.
Ziky ambaye yuko chini ya uongozi wa AKOTHEE SAFARIS mapema Ijumaa tarehe mbili mwezi wakumi na moja saa tano na takriban dakika arubaini aliweza kuyamwaga maneno haya "HIVI HUYU DOGO NDO NANI ?? NAONA AMEPEWA BONGE MOJA LA SUPPORT MOMBASA ZAIDI HATA YA WASANII WA HAPA .WENGINE JUZI WALIACHA HATA MAKAZI YAO KWA KUZUNGUKA BARABARANI NA KUKODISHA MAGARI ILI IONEKANE JAMAA ANAMASHABIKI ... MBONA MKIWAPA SHOW WAKINA Susumila Yusuf Chikuku Chikuzee FRANK DEE NYOTA NDOGO Kaa La Moto Kiumbe MSIENDE KUZUNGUKA MITAANI NA MAGARI KUTANGAZA SHOW?? SOKO LETU HILO SIJUI NDO TUITE UBABAIKAJI AMA NINI .TENA HAO HAO MNAOWABABAIKIA HATA WAKICHUKUA PICHA NA NYINYI KIBARUA BADO UNACHO WEWE JUU YEYE HANA MUDA WA KUKUPOST. .TUKOMAENI NA TUPENDE VYETU TUBABAIKIE VYETU TUONE KAMA KINA KELECHI MASAUTI Wynas WillyNA WENGINEHAWATA BABAIKIWA NNJE .. HII NAIONA HAPA MOMBASA NAIROBI HAKUNA MAMBO HAYA VIJANA WANA NG'ANG'ANA KUEKEZA KWA MZIKI WASIMAMIZI NAO WANA NG'ANG'ANA KUTOA SHOW NA KUBABAIKIA WASANII WA NNJE ... HIVI MNATAKA WATU WAIMBE VIPI NA WATOE VIDEO ZA VIPI NDO HIZO SHOW MNAZOPEANA WASANII WA NNJE MUWAPE WASANII WA NYUMBANI? SAWA HATUKUSOMA HAO MNAOWALETA NDO WASOMI????" Uku akiwa amefuatiliza na screenshot promota Rozay akiwa amempost msanii Enock Bella kutoka kundi vunjika la Yamoto Band.
Msanii huyo mapema hii leo ameweza kuweka wazi jambo linalo mkera na kumkereketa kuhusiana na mziki wa Mombasa na Kenya kwa ujumla.Ziky aliweza kunyoosha maneno yake yakiwa yamejawa na uchungu mwingi kutoka roho ambapo aliweza kueleza bila kuogopa jinsi washikadau wetu wamuziki wanababaikia wasanii kutoka nchi za nje wakiwa wanakuja kufanya matamasha yao mjini Mombasa.
Ziky ambaye yuko chini ya uongozi wa AKOTHEE SAFARIS mapema Ijumaa tarehe mbili mwezi wakumi na moja saa tano na takriban dakika arubaini aliweza kuyamwaga maneno haya "HIVI HUYU DOGO NDO NANI ?? NAONA AMEPEWA BONGE MOJA LA SUPPORT MOMBASA ZAIDI HATA YA WASANII WA HAPA .WENGINE JUZI WALIACHA HATA MAKAZI YAO KWA KUZUNGUKA BARABARANI NA KUKODISHA MAGARI ILI IONEKANE JAMAA ANAMASHABIKI ... MBONA MKIWAPA SHOW WAKINA Susumila Yusuf Chikuku Chikuzee FRANK DEE NYOTA NDOGO Kaa La Moto Kiumbe MSIENDE KUZUNGUKA MITAANI NA MAGARI KUTANGAZA SHOW?? SOKO LETU HILO SIJUI NDO TUITE UBABAIKAJI AMA NINI .TENA HAO HAO MNAOWABABAIKIA HATA WAKICHUKUA PICHA NA NYINYI KIBARUA BADO UNACHO WEWE JUU YEYE HANA MUDA WA KUKUPOST. .TUKOMAENI NA TUPENDE VYETU TUBABAIKIE VYETU TUONE KAMA KINA KELECHI MASAUTI Wynas WillyNA WENGINEHAWATA BABAIKIWA NNJE .. HII NAIONA HAPA MOMBASA NAIROBI HAKUNA MAMBO HAYA VIJANA WANA NG'ANG'ANA KUEKEZA KWA MZIKI WASIMAMIZI NAO WANA NG'ANG'ANA KUTOA SHOW NA KUBABAIKIA WASANII WA NNJE ... HIVI MNATAKA WATU WAIMBE VIPI NA WATOE VIDEO ZA VIPI NDO HIZO SHOW MNAZOPEANA WASANII WA NNJE MUWAPE WASANII WA NYUMBANI? SAWA HATUKUSOMA HAO MNAOWALETA NDO WASOMI????" Uku akiwa amefuatiliza na screenshot promota Rozay akiwa amempost msanii Enock Bella kutoka kundi vunjika la Yamoto Band.
Comments
Post a Comment