Skip to main content

EXCLUSIVE: "PANGA SHOW YAKO ALAFU USINIWEKE" SUSUMILA AMPIGA DONGO NANI?? Soma hapa...

Licha yakua huu mwaka msanii SUSUMILA hajaonekana katika matamasha mengi yeye ndio ameteuliwa katika tamasha kuu la WASAFI FESTIVAL.
Mapema leo hii Yusuf Kombo almaarufu kama Susumila aliweza kuandika ukurasa tusijue alimpiga nani dongo hilo maana kulingana na ukurasa huo ulivyoandikwa ujumbe huo unamuendea mtu fla i kama sio Presenter basi atakua msanii mwenzake ama Muandaaji mmoja wa matamasha kutoka Mombasa.

Susumila aliweza kuandika hivi "Jamani show sijaipanga mimi wenye kupanga kimtazamo wao wameona nawafaa kwenye hio show so kama waona sifai panga show yako alafu usiniweke muweke unaempenda ama unaemuona anakufaa mbona tunasahau huwezi pendwa na kila mtu na huwezi chukiwa na kila mtu ðŸ˜‚😂🤣kwa sasa nivumilieni kidogo mpaka 26th ikiisha maisha yataendelea ama mnasemaje wangwana  #Mchezousiuchezee" Aliandika hayo uku akiambatanisha na posta ya show hio Ya WASAFI FESTIVAL ilioandaliwa na kituo cha NRG.


Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.  

NEW SONG ALERT: NYOTA NDOGO-SUBIRA YANGU| IPAKUE HAPA...

Hii ni ngoma mpya ya msanii wakike NYOTA NDOGO inayokwenda kwajina SUBIRA YANGU ambapo ngoma hii aliweza kuiachia hapo jana. Pata kuipakua hapa ivi upate ujumbe mtamu na Wakuelimisha.

NEW AUDIO | RABBIT KING KAKA FEAT RICH MAVOKO-NJOO | LISTEN AND DOWNLOAD HERE..

Hii ni nyimbo mpya kutoka KenyaTanzania ambapo ni moja ya Colabo iliyongojewa kwa muda mrefu,colabo hio inakwenda kwa jina la NJOO ambapo ni msanii wa Hip Hop ameshirikisha msanii wa Bongo flava kutoka Tanzania hapa nikiwa namzungumzia KING KAKA akiwa na RICH MAVOKO. Nyimbo hio imeachiliwa rasmi hii leo na wasanii hao wawili. pata kuiskiza na ku download hapa..