Skip to main content

EXCLUSIVE STORY|||MSANII WA HIP HOP AEKWA CHINI NA MAJAMBAZI WALIOJIHAMI NA MITUTU YA BUNDUKI NA KUPORWA KILA KITU ALICHOKUA NACHO...

Msanii kutoka jimbo la Mombasa anayetamba na kibao chake kwasasa kinachokwenda kwajina kama HAPA KATI auona usiku mrefu.
HARRY GENIUS ambaye studio zake ni pale THURNDERSOUND chini ya SHERIFF/MORBIZ, habari tulizozipata inasemekana kwamba msanii huyo alikua anatoka katika miangaiko yake ya kawaida ambako ilikua mida ya saa tano usiku alikua juu ya boda na waliweza kusimamishwa uku wameshikiwa mitutu ya bunduki na watu wasio julikana takriban watu watano ambapo wawili walikua wanamiliki bunduki.


Kupitia njia ya simu tuliowasiliana naye aliweza kuielezea THEGREATMULLEYMEDIA kwamba aliweza kuketishwa chini pamoja na huyo dereva wa pikipiki na kusombwa kila kitu ikiwemo Pesa zake ambazo alikua ashamaliza biashara yake nasimu yake pamoja na viatu alivyokuwa amevaa na saa yake ya dhahabu "Ilikua nimetoka kazini kwangu naenda kujituyliza nyumbani masaa ya saa tano usiku maeneo ya likoni msikiti SWABIRINA ndipo nilipokutana na hao majambazi na wakanieka chini pamoja na yule jamaa wa pikipiki aliyekuwa amenibeba,majambazi hao wawili walikua wanamiliki bunduki wengine walikua na mapanga" alisema hayo msanii Genius  kwasasa anauguza majeraha maana walimpiga kiasi na marundu.

Hii Hapa ndio Video yake mpya inayokwenda kwajina HAPA KATI

Comments

  1. Duuuuuh izaaa mwanagu Upoeee harakaa sanaa

    ReplyDelete
  2. Duuuuuh izaaa mwanagu Upoeee harakaa sanaa

    ReplyDelete
  3. Duuuuuh izaaa mwanagu Upoeee harakaa sanaa

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO

EXCLUSIVE: DOWNLOAD WIMBO MPYA WA TANZANITE ALIYO MUIMBIA LULU WA BONGO MOVIE

Pata kudownload na kuskiza hapa chini....

EXCLUSIVE AUDIO| CHIKUZEE-KUNGURU MWEUSI|LISTEN AND DOWNLOAD HERE

Baada ya kimya cha muda msanii na mkali wa vocals kutoka hapa Kenya CHIKUZEE ameachia mzigo mpya kutoka NUMBER RECORDS unajulikana kama KUNGURU MWEUSI. Ujio huu wa Chikuzee umekaa tofauti kabisa na alivyozoeleka na mitindo yake ya hapo awali,round hii ameamua kuingia katika mtindo wa TAARAB na ili kuonesha ujuzi wake na mashairi yake yalivyokomaa. Pata kuudownload KUNGURU MWEUSI hapa.. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD KUNGURU MWEUSI.